Habari Mpya

TAZAMA PICHA UONE JINSI AMBAVYO SNURA ALIVYOSHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WATOTO YATIMA SIKU YA JANA.


DSCF0678Ni mara chache sana kutokea kufanyika kwa hili alilofanya Snura kwa kutamani kwa karibu na moja kati ya Mashabiki wa muziki wake ambao ni watoto hasa kwenye siku muhimu kwake kama hii ya kuzaliwa.
DSCF0598Leo ni Snura ameadhimisha umri wake wa kuzaliwa ambao kwa upande wake aliona akasherehekee na Watoto Yatima wa kituo cha Chakuwana kilichopo Sinza Mori Dar es salaam,walioambatana na Snura kwenye siku yake hii ni pamoja na Kala Jeremiah,Meneja wake HK pamoja na Davina wa Bongo Muvi.
DSCF0592Miongoni mwa zawadi alizozitoa Snura kwa watoto hao ni pamoja na Unga,Sukari,Sabuni,Juisi,Biskuti,Mafuta ya kula na vingine vingi,Hizi ni baadhi ya picha wakati watoto hao walipokuwa wakikabidhiwa zawadi hizo na Snura.
DSCF0695
DSCF0702
DSCF0659
DSCF0639
DSCF0584
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
Designed By