UVUMILIVU UMEMSHINDA AU NI KUMCHEZEA MUNGU, SISTER WA KICATHOLIC AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME...SOMA HAPA
Inaelezwa
kwamba sister aliyezungushiwa duara anae kwenda kwa jina la Roxana
Rodriguez ndo yule aliyejifungua mtoto wa kiume hivi karibuni na kumuita
Francis. Sister huyu ameuushangaza ulimwengu pamoja na masister wenzake
kwa kudai kwamba hakujua kwamba ni mjamzito. Dah bora tu waruhusiwe kuolewa.