Habari Mpya

PENNY AAMBULIA MATUSI YA NGUONI KUTOKA KWA MASHABIKI NI MAARA BAADA YA DADA WA DIAMOND KUWEKA PICHA WAKIWA NA WIFI YAO HUYO..!! TAZAMA HAPA WALIVYOMCHAMBA

Hivi karibuni dada wa msanii Diamond Platnumz mwanadada Queen Darleen alipost picha akiwa na aliyekuwa mpenzi wa kaka yake katika mtandao wa kijamii na mara baada ya kuweka pocha hiyo iliibua maneno mazito na machafu kwa mwanadada Penny  ambaye ni mtangazaji wa kituo cha tv cha DTV. picha hiyo iliyonyesha Penny na akiwa na wifi zake ndipo mashabiki walivunja ukimya na kuanza kuporomosha matusi ya nguoni kwa Penny. tazama hapa chini utaona mwenyewe

Credit:Swahili.info
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
Designed By