Habari Mpya

"NAMPENDA BABA MWENYE NYUMBA WANGU".USHAURI JAMANI NIFANYEJE KUMWAMBIA SIWEZI???


Ndugu  zangu, naombeni  nisieleke  vibaya.. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Nina mwaka wa kwanza tangu nianze kujitegemea mara baada ya kumaliza shule. Nimepanga kwenye nyumba moja iliyoko  maeneo ya  Mbezi.
Tatizo langu ni kwamba nimetokea kumpenda  sana  baba mwenye nyumba wangu ambaye ana watoto na familia. Kila nikijibaraguza siwezi.  Nimefanya  kila  mbinu  kuzificha  hisia  zangu  lakini  nimeshindwa.Kimsingi simpendi mwanamume mwingine zaidi yake. 
 Nisaidie kuniepusha na mtihani huu  mgumu.Asanteni Sana
 Tuangaze blog inatoa shukrani kwa wadau wote ambao wanatoa ushauri kwa wadau wengine wanao omba ushauri kupitia blog hii, kiukweli wengi wametoa ushauri na wengi utoa namba zao za simu kwa ajiri ya ushauri zaidi

 Basi mpatie ushauri mdau wetu.Bofya hapo chini ili uweze kumpatia ushauri mdau wetu
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
Designed By