Habari Mpya

USHAURI JAMANI...!! NILIMTEGA SHEMEJI YANGU AKATEGEKA SASA ANATAKA AMUACHE DADA ANIOE MIMI..NIFANYEJE???


 NAOMBENI USHAURI JAMANI : Naitwa Cellina nipo Kunduchi Dar es salaam, naombeni ushauri wenu fans wa page hii kuna mume wa dada yangu nampenda sana kwani ana kila kitu ambacho mwanaume anapaswa kuwa nacho...
Nice car , good house very handsome and super gentlemen. huyu shemeji yngu anaishi Uganda, last month nilienda kuwamtembelea muda ambao nipo kule nilianza kumuonyesha dalili za kumtaka (kujitongozesha ) na ilifikia hatua hata kuvaa kanga moja iliyolowa maji nikitoka kuoga..kwa bahati nzuri dada akapata safari so nikautumia muda huo vizuri kumshawishi tufanye mapenzi akakubali na tukawa tunafanya mapenzi mara 

kwa mara kila siku, sasa nimerudi nyumbani TZ , siku zangu sizioni kwenda kupima nikakutwa na MIMBA, nimemwambia shemeji kakubali na kufurahi sanaa na kunisifia kwamba niko vizuri sana kitandani kushinda my sister , sasa anataka nimwachishe na dada anioe mimi cause me nampenda.  
NISHAURINI NIFANYEJE WAACHANE HARAKA ILI NIWEZE KUOLEWA NA SHEMEJI....?? Please do not show my face and please fans Msinifikirie vibaya jamani.....!!

KAMA UNAUSHAURI  TU INBOX KATIKA UKURASA WETU ILI KUMSAIDIA MDAU WETU 
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO
Designed By